Monday 13 March 2017


   mu0nekano wa jiji la dar baada ya mvua iliyonyesha ndani ya masaa 4.....




  leo mach 13 mvua iliyonyesha jijini dar imeanza kuleta athari baada ya kuharibu miundombinu katika baadhi ya maeneo hapa jijini.....

 
daraja la ubungo






msasani barabara ya maandazi



daraja la kawe







barabara ya kawe



Friday 7 October 2016

              MISINGI YA KUIFAHAMU KABLA HUJAANZA                                                    BIASHARA.

     karibu sana mpenzi msomaji wetu wa mtandao  wa  DUNIA MPYA mtandao unaokupa habari matomoto za kukuburudisha na  kukuelimisha, Katika mada yetu ya leo nimekuletea  misingi ya kuifahamu kabla hujaaanza biashara yeyote ile.... Ukweli ni kwamba  hakuna mtu apendae kuanza  biashara yake harafu punde  kuiona biashara hiyo ikiishia sehemu ambayo hakuitarajia na si sahihi kwake,, sasa ili kuepukana   na mambo hayo yote ipo misinngi ya kuifahamu  kabla hujaanza biashara, misingi hiyo ni ipi  twende pa1....


  1. ENEO LA KUFANYIA BIASHARA. katika biashara yeyote ile hili ni jambo  muhimu  sana la kulizigatia kabla yakuianza biashara,..Hapa utaangalia mazigira yatakayo endana  na aina ya biashara unayoifaya... Mfano unataka ufungue Biasharaya ya stationary muhimu kuzigatia maeneo  yaliopo kalibu na mashule , ofisi zozote za kijamiia  ama kwenye mzunguko mkubwa wa watu na wanafunzi.  Hapo ndipo biashara yako itakavyokweda vile inavyotakiwa na kuiona faida inayostahiki........    
    TAFUTA ENEO ZURI KWA BIASHARA
                                                                                                                                                                         
  2. WATEJA  .. Hapa ni lazima wewe mfanya biashara kuangalia upatikanaji wa wateja wako kulingana na aina ya biashara unayoifanya katika eneo husika, inatakiwa ujipe asilima zinazorizisha ambapo utakua unauhakika wa kuwapata wateja wanaotosheleza, hapa utaangalia kama biashara yako ni ya uuzaji wa vitabu basi wateja wako wengi watakua wanafunzi , wafanyakazi  na wale watumiao vitabu hivyo kulingana na matumizi yao mbalimbali, Hivyo basi swala la kujua wateja wako ni muhimu katika aina yeyote ya biashara utakayo ifanya..
    TAMBUA WATEJA WAKO
                                                                                                   
  3. BIDHAA..  Katika biashara ni muhimu kuwa na bidhaa za kutosha zinazoweza kutatua matatizo ya wateja wako katika eneo uliloweka biashara yako, hapo ni muhimu kwa wewe mfanya biashara kutambua ni aina gani ya bidhaa zinazopendwa zaidi na wateja wako, kuwa na desturi ya kudadisi vitu vinavyopendwa zaidi na uviweke kwenye biashara yako ikizingatia na biashara unayoifanya kulingana na eneo ulilopohapo. Wateja watakua na uhakika wa huduma unazozitoa..Muhimu kuwa na bidhaa za kutosha ili kukuza biashara yako. Kwakunya hivyo utakua unauhakika wa kuwapata wateja wengi zaid...
    KUWA NA BIDHAA ZA KUTOSHA
     
  4. MATANGAZO. Hili ni jambo la mwisho la kulifahamu kabla ujaanza biashara yaani utaitangaza vipi biashara yako..  Kunakamsemo kanasema "Biashara matangazo", msemo huu unaukweli wa asilimia zote mia moja. hukuna biashara utakayoiendesha vizuri inavyotakiwa kama usipotagaza biashara hiyo vile inavyotakiwa, nilazima watu wapate taarifa zinazojitosheleza ili  wawe na ufahamu wakutosha kuhusu bidhaa zinazopatikana kwenye biashara yako.  Matangazo yako ya aina nyingi sana inategemea na biashara unayoifanya, mfano unaweza kuandaa mabango, vipeperushi au kwakupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ama hata kama mfuko wako uko vizuri unaweza kutangaza biashara yako kwenye vyombo mbalimbali vya habari, hii itakusaidia kuweza kupata wateja wengi zaidi kwenye biashara yako na kuweza kufanya biashara yako kukua zaidi.....
    TANGAZA BIASHARA YAKO



  • NB ........Usifanye jambo lolote kwakua umeona fulani kalifanya,.. Muhimu ni kuzingatia mambo ya msingi ya kulifanya jambo hilo, BIASHARA utaiona ni nzuri ikiwa utaona faida ile uliyoikusudia lakini inakuja kuwa chungu pale unapofikia hatua ya kuwa kila utakachokifanya matokeo yake ni kuvuna hasara.... FANYA JAMBO UKIWA UNA JUA NI NINI UNACHOKIFANYA .......                                                                                                                                                                                                                                                                                             Asante kwakuwa pa1 na mimi, tukutane tena kesho nikiwaletea mada nyingine nzuri zitakazo kujenga na kukuelimisha........Mwanaharakatu LIUMA AHMED ...0719260451...................................................



Sunday 2 October 2016

DUNIA MPYA ....Hii ni blog mpya inayochambua kwa kina DUNIA MPYA na changamoto zake kiuchumi, kisiasa, kijamiii, kiburudani na kitamaduni. Kuwa wa kwanza kuhabarika na taarifa za ulimwenguni kote. Tembelea blog yetu DUNIA MPYA.!!!!!!